
It's all about maburudani na maisha ya kila siku karibuni napenda kufanya kitu na kifanikiwe kila siku iendayo kwa mungu,mungu bariki kazi ya mikono yangu kwa sababu naipenda kama navyopenda vitu vingine na watu pia.
Monday, December 12, 2011
NGWEAR WITH NEW TRACK...WASHAMBA

Friday, December 2, 2011
Sunday, August 21, 2011
Friday, July 8, 2011
BREAKING NYUUUUUZI.....MAN UNITED YAWAUZA JOHN OSHEA,DARREN GIBSON NA WES BROWN KWA SUNDERLAND.


Manchester united ya uingereza imubali kuwauza wachezaji wake wa sehemu ya ulinzi John Oshea(pichani kulia),Wes Brown(kushoto) na kiungo anayechipukia Darren Gibson kwenda Sunderland nayo ya Uingereza.
'THERES ONLY ONE KASEJA..........

Na ndivyo ilivyokua jana pale golikipa nambari moja wa wekundu wa msimbazi simba alipoisaidia timu yake kutinga katika hatua ya fainali akiokoa mkwaju wa penati wa el-meirhekh ya sudan na kufanya matokeo kuwa 6-5.huku penati ya simba ikikoswa na salumu machaku.katika dakika 90 el-meirhekh ndio walioanza kupata goli katika dakika ya 26 ya kipindi cha kwanza na simba kurudisha goli hilo katika dakika ya 42 kupitia kwa winga wake machachari Ulimboka mwakingwe.sasa simba anamsubiri kati ya Yanga au St.George siku ya jumapili pale uwanja mpya wa taifa.
Wednesday, July 6, 2011
NANI KASEMA MBAGALA HAKUNA GOROFA?????EBU ONA MWENYEWE...
VLADMIR AMCHAPA HAYES KWA POINT.......

Saturday, July 2, 2011
NANI MKALI HII LEO... DAVID HAYE VS VRADMIR.....


vradmir....... Leo ni mpambano unaosubiliwa kwa hamu kubwa na wanamasumbwi kote duniani kati ya haye na vradmir ni mpambano wa kihistori.
Friday, July 1, 2011
Thursday, May 12, 2011
MUSEVEN KUAPISHWA LEO....

Raisi YOWELLI MUSEVEN anatarajia kuapishwa leo huko UGANDA na hii inakuwa kwa mwaka wa 30 sasa tangu aanze kuiongoza inchi hiyo.tayari muheshimiwa rais JAKAYA M. KIKWETE ameshaondoka kuelekea huko UGANDA kwa hafla hiyo.
Tuesday, May 10, 2011
KIM KARDASHIAN na REGGIE BUSH watoa nje ofa......

Monday, May 9, 2011
JAMANI WASHABIKI WA UNITED WAKISHINDA WANA VISA........SIO MIMI JAMANI...

KAMA ULIKUA HUJUI....BASI HABAFARI NDO HII HAPA......FERGIE featuring JOSEE..

KAA MKAO WA KULA INAKUJA MWEZI HUU...

NI UNITED KWA MARA NYINGINE TENAAA....


BIRDMAN 'cash money the boss'....wamjua vizuri???

Studio ya CASH MONEY RECORD inaweza kuwa ndo nembo halisi katika historia ya muziki huko kwa OBAMA(marekani)kwa kuwa na wasanii wengi pengine kuliko zote zilizowahi kuwika na kufanya vizuri katika miondoko ya hip hop.Birdman amekizolea umaarufu na kujikuta akimiliki utajiri mkubwa anaofikia dola milioni 400(billioni 600 za madafu)kupitia lebo hiyo.BIRDMAN mzaliwa wa NEW ORLEANS,LOUISIANA,alianzisha CASH MONEY kwa kushirikiana na kaka yake RONALD'SLIM'WILLIAMS mnamo mwaka 1989,ambapo licha ya kuwa navipaji vingi aliendelea kuwa mwanamuziki na prodyuza huku akiwasaidia kuwatoa kimuziki wakali kama LIL' WAYNE'wizzle' na JUVENILLE kupitia lebo hiyo.akiwa kwenye kiwango cha juu mwaka 2000 alifanikiwa kuzoa dola million 25 baada ya kushinda tuzo ya wimbo bora wa hip hop kupitia ngoma yake ya NO 1 STUNNA na kuwafunika wakali wengine kibao wa miondoko hiyo hapo kama JIGGA'jay z' na ANKEL SNOOP DOGGY.jarida la forbes toleo la mwezi uliopita liliandika kuwa CASH MONEY na uhakika wa kuweka kibindoni zaidi ya dola 100 kwa mwaka kupitia kazi zinazofanyika mjengoni humo jambo ambalo lilipingwa viikali na mkali huyo kabla ya kuombwa radhi na chombo hicho cha habari.katika kuweka sawa mambo BIRDMAN alisisitiza kwamba akiwa na umri wa miaka 22 tayari alikua na mkwanja unaofikia dola millioni 40 na sasa ni mtu mzima anayetengeneza mpunga wa maana zaidi ya huo ulioanishwa na jarida la forbes.mkubwa anamiliki eneo lenye thamani ya dola millioni 30 huko MIAMI,huku mwenyewe akifafanua kuwa kila baada ya miezi 6 hununua magari mapya 100 na kuacha yote ya zamani.matumizi mengine ni pamoko na cheni za thamani mikanda,pete,heleni(puli)na meno ya bandia kama mapambo tu.mwaka wa kimbuka cha KATRINA mtu mzima alipoteza nyumba 20 na magari 50 zikiwemo MAYBACH 2 na FERRARI 4.kwa ufupi huyo ndo BIRDMAN,THE BOSS WA CASH MONEY.jina kamili ni BRYAN WILLIAMS kazaliwa FEBRUALY 15,1969 hadi sasa ana miaka 19 kwenye gemu.
Sunday, May 8, 2011
OSAMA hakurudisha mipira iliyoingia kwenye uzio wa jumba lake...

Katika maisha ya kawaida mitaani tumeshuhudia viwanja vingi karibu na makazi ya watu(football,cricket n.k)nyakati nyingine wakati wa mchezo mipira imekua ikifika kwenye makazi hayo ya watu na wahusika kuirudisha kwenye uwanja(hapa kama utakutana na wahusika wapenda michezo)lakini hilo pia lilijiri kwenye makazi ya aliyekua kiongozi wa kikundi cha kigaidi cha AL-QAEDA bwana OSAMA BIN LADEN kwani watoto waliokua wakicheza mpira wa CRICKET nje ya uzio wa jumba lake pindi mipira inapokua inaingia ndani ya jumba hilo basi hupewa fedha kwa ajili ya kununua mipira mingine na si kurudishiwa au kuingia kuchukua.kinara huyo wa AL-QAEDA hakutaka usumbufu katika maficho yake na ndo maana alitumia fedha kurudisha mipira hiyo.mipira hiyo inasemekana ilikua na thamani ya pauni 2.50 kwa mujibu wa maelezo ya mkazi mmoja wa eneo hilo.mtu mmoja alisema aliitupa karibu mara mbili mipira yake na kuvuka uzio huo wenye urefu wa futi 18,ambapo awali hakuwa akifahamu kwamba humo ndani anaishi OSAMA(54).
Friday, May 6, 2011
BARCELONA WANAJIFUA KWA AJILI YA UNITED.....
jamani haya ndo mazoezi ya barca....maandalizi kwa united
haya sasa wababe wamekutana...unadhani nani atashinda?????
Subscribe to:
Posts (Atom)
Popular Posts
-
Studio ya CASH MONEY RECORD inaweza kuwa ndo nembo halisi katika historia ya muziki huko kwa OBAMA (marekani)kwa kuwa na wasanii wengi peng...
-
Msanii wa kizazi kipya anayekwenda kwa jina la Rich Mavoko ametupia album yake ya kwanza sokoni inayokwenda kwa jina Uzuri wako ,album ili...
-
Toka mkoani MBEYA....Watu wapatao wa5 wanaosadikiwa kuwa ni MAJAMBAZI wameuwawa kwa risasi kufuatia majibizano ya kurushiana risasi na pol...
-
mtu mzima ngwea ameachia track mpya inayokwenda kwa jina la washamba akimshirikisha the chemba squad wa longtime dark master...track iliyoch...
-
Anajulikana kwa jina la BIBI CHEKA toka pande za TMK anawakilisha kampuni maarufu kwa sasa ya muziki wa bongo flava MKUBWA NA WANAE ya kak...
-
Muda wa mchana wa leo saa 8 mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la SHIRIMA ambaye ni mfanyabiashara maeneo ya kariakoo amejitupa toka ghorof...
-
Member wa NYEUSI anaejulikana kwa jina la Nikki wa pili ameachiz singo mpya inayokwenda kwa jina la 'PAIR' akiwa amemshirikisha b...
-
DOGO JANJA: HUU NDIO UKWELI MTUPU KUHUSU KUFUKUZWA... Siku moja baada ya Dogo Janja kudaiwa kufukuzwa Tip Top Connection, ukweli halisi kuhu...