

Manchester united ya uingereza imubali kuwauza wachezaji wake wa sehemu ya ulinzi John Oshea(pichani kulia),Wes Brown(kushoto) na kiungo anayechipukia Darren Gibson kwenda Sunderland nayo ya Uingereza.
It's all about maburudani na maisha ya kila siku karibuni napenda kufanya kitu na kifanikiwe kila siku iendayo kwa mungu,mungu bariki kazi ya mikono yangu kwa sababu naipenda kama navyopenda vitu vingine na watu pia.
No comments:
Post a Comment