Thursday, May 12, 2011

MUSEVEN KUAPISHWA LEO....



Raisi YOWELLI MUSEVEN anatarajia kuapishwa leo huko UGANDA na hii inakuwa kwa mwaka wa 30 sasa tangu aanze kuiongoza inchi hiyo.tayari muheshimiwa rais JAKAYA M. KIKWETE ameshaondoka kuelekea huko UGANDA kwa hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Popular Posts