Thursday, May 12, 2011

MUSEVEN KUAPISHWA LEO....



Raisi YOWELLI MUSEVEN anatarajia kuapishwa leo huko UGANDA na hii inakuwa kwa mwaka wa 30 sasa tangu aanze kuiongoza inchi hiyo.tayari muheshimiwa rais JAKAYA M. KIKWETE ameshaondoka kuelekea huko UGANDA kwa hafla hiyo.

Tuesday, May 10, 2011

KIM KARDASHIAN na REGGIE BUSH watoa nje ofa......

Mwanamitindo super staa nchini marekani,KIMBERY NOEL au KIM KARDASHIAN ametupia mbaaaaaaaaali ofa ya dola za kimarekani millioni 10 sawa na billioni 15 za kibofongo zilizotolewa na jarida la utupu la VIVID ilia akubali kushiriki filamu ya ngono na aliyekuwa mpenzi wake REGINALD ALFRED II 'REGGIE BUSH'.Habari kutoka mtandao mmoja wa kijanja zinasema kuwa KIM alitumia muda wa dakika sita katika kipindi chake maarufu cha runinga cha 'THE KARDASHIAN'S SHOW' kwa kuwarushia maneno 'meusi' watoaji wa jarida hilo lililowahi kusambaza filamu kama hizo za mtoto wa mcheza filamu maarufu hollywood MONTANA FISHBURNE(the matrix,predator 2010 n.k). "hakika watu hawa wana akili mbovu sana mimi ni mwanamke ninaye heshimika katika jamii ya watu wa marekani hivi sasa sitaki kurudi kwenye vitendo na matukio ya ajabu yaliyowahi kupita kwangu.eti nifanye filamu ya ngono,tena na mtu ambaye tulikuwa na uhusiano zamani kwa kisingizio cha mshiko mbuzi huu ni utahira ambao siwezi kushiriki"alisema kim. kwa upande mwingine Reggie ameliambia jarida la new york times kuwa yuko kwenye mazungumzo na mwanasheria wake MAXWELL HALL kujaribu kuangalia uwezekano wa kufungua mashtaka dhidi ya VIVID kwa kile alichokiita kuchafuliwa mno jina lake.jarida la VIVID toleo la April lilitoa kichwa cha habari US 10M 4 KIM & BUSH......ni hayo tu.



Monday, May 9, 2011

JAMANI WASHABIKI WA UNITED WAKISHINDA WANA VISA........SIO MIMI JAMANI...

"I am very sory but you have to try next seasion may god bless u all." FERGIE akiwaombea GERRALD na kocha wake KENY DAGLISH.kama fergie atachukua msimu huu ni wa 19 juu ya LIVERPOOL yenye kuchukua mara 18 taji hili la ligi kuuu ya uingereza.

KAMA ULIKUA HUJUI....BASI HABAFARI NDO HII HAPA......FERGIE featuring JOSEE..

"mzee usijali tutawaumiza wale(ni kama anasema hapa maurinho)" Boss mwenye matumaini makubwa ya kunyakua makombe mawili msimu huu yaani ligi kuu ya uingereza na lile la uefa champions ligi SIR ALEX FERGUSON ametanabaisha waziwazi kuwa atamshirikisha kimawazo jinsi gani ya kuingamiza timu inayoogopwa kwa sasa na yenye tuhuma nyingi za kubebwa na marefarii yaani BARCELONA F.C au BARCA.kocha wa timu iliyoshindwa kufuzu kwa fainali za mwaka huu za champions ligi zitakazofanyika kwenye uwanja wa WEMBLEY uingereza mnamo tarehe 28/may/2011, REAL MADRID namzungumzia msema hovyo au maneno mengi au mwenyuewe apendavyo aitwe 'the special one' JOSE MAURINHO.sijui itakuaje hapa JOSEE hapa FERGIE...na vipi kama hiyo featuring angeingia pale kati mzee WENGER???????

R.I.P Seve Bellesteros......



A spanish professional goffer died on saturday 7 may 2011.mungu amlaze mahali pema AMIN.....

KAA MKAO WA KULA INAKUJA MWEZI HUU...

Wazee wa filamu kaeni mkao wa kula kitu cha ukweli hiki hapa kiko njiani....this may....humu ndani kutakuwa na mtu mzima CHRISS HEMSWORTH kama THOR,NATALIE PORRTMAN az jane foster,pia kuna mzee mzima ANTONY HOPKINS....kwa ufupi tu ila zaidi tembelea hako katovuti hapo juu....ni hayo tu.

NI UNITED KWA MARA NYINGINE TENAAA....

mfungaji wa goli la kwanza Javier Hernandez Chicharito akishangilia goli la pili na mfungaji wa goli hilo captan Nemanja Vidic.

Timu ya MANCHESTER UNITED imeisambaratisha timu ya CHELSEA kwa mara ya tatu mfululizo kwa magoli 2-1,wafungaji wakiwa ni JAVIER HERNANDEZ CHICHARITO na timu captan NEMANJA VIDIC,goli la kufutia machozi la mabingwa wa msimu uliopita CHELSEA liliwekwa kimiani na kiungo wao mkongwe FRANK LAMPAD.sasa UNITED imefikisha pointi 76 mbele ya CHELSEA yenye pointi 70

BIRDMAN 'cash money the boss'....wamjua vizuri???



Studio ya CASH MONEY RECORD inaweza kuwa ndo nembo halisi katika historia ya muziki huko kwa OBAMA(marekani)kwa kuwa na wasanii wengi pengine kuliko zote zilizowahi kuwika na kufanya vizuri katika miondoko ya hip hop.Birdman amekizolea umaarufu na kujikuta akimiliki utajiri mkubwa anaofikia dola milioni 400(billioni 600 za madafu)kupitia lebo hiyo.BIRDMAN mzaliwa wa NEW ORLEANS,LOUISIANA,alianzisha CASH MONEY kwa kushirikiana na kaka yake RONALD'SLIM'WILLIAMS mnamo mwaka 1989,ambapo licha ya kuwa navipaji vingi aliendelea kuwa mwanamuziki na prodyuza huku akiwasaidia kuwatoa kimuziki wakali kama LIL' WAYNE'wizzle' na JUVENILLE kupitia lebo hiyo.akiwa kwenye kiwango cha juu mwaka 2000 alifanikiwa kuzoa dola million 25 baada ya kushinda tuzo ya wimbo bora wa hip hop kupitia ngoma yake ya NO 1 STUNNA na kuwafunika wakali wengine kibao wa miondoko hiyo hapo kama JIGGA'jay z' na ANKEL SNOOP DOGGY.jarida la forbes toleo la mwezi uliopita liliandika kuwa CASH MONEY na uhakika wa kuweka kibindoni zaidi ya dola 100 kwa mwaka kupitia kazi zinazofanyika mjengoni humo jambo ambalo lilipingwa viikali na mkali huyo kabla ya kuombwa radhi na chombo hicho cha habari.katika kuweka sawa mambo BIRDMAN alisisitiza kwamba akiwa na umri wa miaka 22 tayari alikua na mkwanja unaofikia dola millioni 40 na sasa ni mtu mzima anayetengeneza mpunga wa maana zaidi ya huo ulioanishwa na jarida la forbes.mkubwa anamiliki eneo lenye thamani ya dola millioni 30 huko MIAMI,huku mwenyewe akifafanua kuwa kila baada ya miezi 6 hununua magari mapya 100 na kuacha yote ya zamani.matumizi mengine ni pamoko na cheni za thamani mikanda,pete,heleni(puli)na meno ya bandia kama mapambo tu.mwaka wa kimbuka cha KATRINA mtu mzima alipoteza nyumba 20 na magari 50 zikiwemo MAYBACH 2 na FERRARI 4.kwa ufupi huyo ndo BIRDMAN,THE BOSS WA CASH MONEY.jina kamili ni BRYAN WILLIAMS kazaliwa FEBRUALY 15,1969 hadi sasa ana miaka 19 kwenye gemu.

Sunday, May 8, 2011

OSAMA hakurudisha mipira iliyoingia kwenye uzio wa jumba lake...



Katika maisha ya kawaida mitaani tumeshuhudia viwanja vingi karibu na makazi ya watu(football,cricket n.k)nyakati nyingine wakati wa mchezo mipira imekua ikifika kwenye makazi hayo ya watu na wahusika kuirudisha kwenye uwanja(hapa kama utakutana na wahusika wapenda michezo)lakini hilo pia lilijiri kwenye makazi ya aliyekua kiongozi wa kikundi cha kigaidi cha AL-QAEDA bwana OSAMA BIN LADEN kwani watoto waliokua wakicheza mpira wa CRICKET nje ya uzio wa jumba lake pindi mipira inapokua inaingia ndani ya jumba hilo basi hupewa fedha kwa ajili ya kununua mipira mingine na si kurudishiwa au kuingia kuchukua.kinara huyo wa AL-QAEDA hakutaka usumbufu katika maficho yake na ndo maana alitumia fedha kurudisha mipira hiyo.mipira hiyo inasemekana ilikua na thamani ya pauni 2.50 kwa mujibu wa maelezo ya mkazi mmoja wa eneo hilo.mtu mmoja alisema aliitupa karibu mara mbili mipira yake na kuvuka uzio huo wenye urefu wa futi 18,ambapo awali hakuwa akifahamu kwamba humo ndani anaishi OSAMA(54).

BADO MUDA KIDOGO TU..........

manchester united vs chelsea f.c saa 12 na dakika 10 jioni leo hii uwanja wa OLD TRAFFORD..

Popular Posts