Monday, August 6, 2012

CHEKA UNENEPE!!! ANT-VIRUS YA STRESS KUJA NA T-SHIRT....
Ikiwa imefanikisha kuwa na memba wapatao 1,394 mpaka sasa kikundi cha wana familia
ya CHEKA UNENEPE kimeamua kuja na t-shirt zake huo hapo juu ukiwa ni mfano wa
moja ya t-shirt hizo..kwa taarifa rasmi kesho mida ya saa 6 mchana zitakuwa tyari na kwa
mawasiliano zaidi bofya 0713 01 62 61.

Tuesday, June 19, 2012

HII NDIO HATMA YA LIGI KUU YA TANZANIA BARA JUU YA...

HII NDIO HATMA YA LIGI KUU YA TANZANIA BARA JUU YA...Siku kadhaa baada ya afisa habari wa klabu Villa Squad, bwana Idd Godi Godi kuhoji juu ya harakati za viongozi wa vilabu vinavyoshiriki li...

Sunday, June 17, 2012

Greece yatinga quatal final....EURO 2012

dj sek: Ugiriki waingia robo fainali: Mashabiki wa Ugiriki wafurahia timu yao kuingia robo fainali Euro 2012 Giorgios Karagounis, nahodha wa timu ya Ugiriki, alifun...

Thursday, June 14, 2012

DOGO JANJA: HUU NDIO UKWELI MTUPU KUHUSU KUFUKUZWA...

DOGO JANJA: HUU NDIO UKWELI MTUPU KUHUSU KUFUKUZWA... Siku moja baada ya Dogo Janja kudaiwa kufukuzwa Tip Top Connection, ukweli halisi kuhusiana na uamuzi huo umewekwa wazi na yeye mwenyewe... zaidi anadai toka aanze mziki haujamfaidisha chochote zaidi ya hela za ubuge ubuge yaani misosi pamba na mi2ngi! hahaha na zaidi ya bwana madee kuimalizia nyumba yake.hayo ni baadhi ya maneno ya dogo janjaro ambaye alikua stand kurudi zake home swt home.

Monday, June 11, 2012

Soon i'll b back! wadau

Wapendwa kwa muda mrefu sana lakini kwa sasa 2takua pmj tena mis u guys

Friday, January 20, 2012

BIBI WA MAAJABU NDANI YA BONGO FLAVA....

Anajulikana kwa jina la BIBI CHEKA toka pande za TMK anawakilisha kampuni maarufu kwa sasa ya muziki wa bongo flava MKUBWA NA WANAE ya kaka FELLA,na tayari ana singo moja ipo hewani imeachiwa leo na kituo cha CLOUDS FM katika show ya XXL..nyimbo iko katika mahadhi ya zouk na bibi ana umri wa miaka 60 lakini huwezi amini akiwa anatoa mistari yake...ana uwezo wa ku-rap a.k.a kuchana,ana uwezo wa kuimba r'n'b pia mkali ile mbaya katika gospal na Qaswida..huyo ndo BIBI CHEKA soon ataonekana katika lile shindano maarufu la BIBI BOMBA kupitia CLOUDS T.V hiyo ni kwa mujibu wa project manager BABUU WA KITAA...so kama vipi stay tune...utamuona live coz hata video ya wimbo wake aliomshirikisha TEMBA utarushwa hewani muda si mrefu.tumpe sapoti ya ukweli bibi jamani kaja kufunika ndani ya mziki wa kizazi kipya hahahahahaaa KARIBU BIBI!!!!

Thursday, January 19, 2012

MPANGO MZIMA IPO SOKONI NOW.....Rise of the Planet of the Apes - 2

Real Madrid vs Barcelona 1-2 All Goals

SIR ALEX FERGUSON WITH NEW CONTRACT@UNITED.....

Kocha wa Manchester United au mashetani wekundu Sir Alex Ferguson amekubali kusaini mkataba wa miaka mitatu zaidi utakaomfanya awe kocha anaeongoza kwa kulipwa kwenye ligi ya Uingereza maarufu kama EPL.kocha huyo sasa atakua anaingiza paund mil 7.5 kwa mwaka akiwacha mbali makocha wengine wa ligi hiyo.

Tuesday, January 17, 2012

ON THIS MAY X-Men: Cyclops KAA MKAO WA KULA

THE GREY KWA MWAKA 2012 KITU KIPYAAAAAAA

EDIN DZEKO AIPAISHA CITY.......


Manchester city jana ilipaa tena na kuacha pengo la point 3 kwa majirani zao ambao ndo mabingwa watetezi Manchester United..kwa ushindi wa goli moja kwa bila dhidi ya wigan athletics mpambano uliopigwa kwenye dimba la wigan,goli likiwekwa wavuni na mshambuliaji hatari Edin Dzeko katika dakika ya 26 na goli hilo lilidumu hadi mwisho wa mchezo.

NIKKI WA PILI ATOA SINGO MPYA 'PAIR'


Member wa NYEUSI anaejulikana kwa jina la Nikki wa pili ameachiz singo mpya inayokwenda kwa jina la 'PAIR' akiwa amemshirikisha brother wa tumbo moko namzungumzia Joh makini a.k.a Mwamba wa kaskazini pamoja na Jiwala wala,singo hiyo iliyo katika mahadhi ya dance hall beat imetengenezwa na mtu mzima Nareal,mixing ikifanywa na mtu mzima Marco chali huku sound ikiwekwa na Zacha mdogo wa Marco chali pale studio za MJ records,akihojiwa leo kupitia Hot 3@3 ndani ya XXL ya clouds fm Nikki alifunguka kuhusu suala la kuachia ngoma mwaka hadi mwaka na kusema ye anafanya mziki coz anapenda afanye hivyo coz muziki ndo kila kitu kwake na upo moyoni mwake so ulipe usilipe ye ataendelea kufanya muziki....well done bro kwa kufunga na hongera pia kwa ngoma nzuri muda sio mrefu utapata fursa ya kuisikia ngoma hiyo kupitia radio station mbali mbali ni hayo tu.

RICH MAVOKO ALBUM IPO SOKON NOW!!!!!

Msanii wa kizazi kipya anayekwenda kwa jina la Rich Mavoko ametupia album yake ya kwanza sokoni inayokwenda kwa jina Uzuri wako,album iliyoshiba sana nyimbo nyingi za mapenzi kama silali ambayo inasumbua kwenye chati nyingi za radio kwa sasa na kuna ngoma kama follow me,dar mpaka mwanza na ngoma kibao tu nzuri akiwa ametengeneza kwenye studio tofauti tofauti hapa jijini dar es salaam.

Saturday, January 14, 2012

MANCHESTER UNITED YAUA.....SCHOLES ANG'ARA

Timu ya manchester united imeendeleza wimbi la kumfukuza man city kileleni,baada ya ushindi alioupata leo wa magoli matau kwa bila,mabao ya paul scholes,Wellbeck na Michael Carrick.hivyo kuifanya united kufikisha point 48.hata hivyo Wellbeck alishindwa kuendelea na mchezo huo baada ya kuumia zikiwa zimesalia dakika 15 mpira kuisha,nae mfungaji wa goli la kwanza paul scholes alitolewa nje na nafasi yake kuchukuliwa na mkongwe mwengine katika timu hiyo Ryan giggs.

SUPERHERO MOVIE YA MWAKA 2008 NI BALAAA FULL MASTAA HUMO NDANI MAKE SURE U WATCHIN IT

RAISI JAKAYA ALIPOTEMBELEA ENEO MAALUMU LA WAATHIRIKA WA MAFURIKO HUKO MAMBWEPANDE NJE KIDOGO YA JIJI

Mh. Rais Dk.Jakaya akikagua baadhi ya sehemu ya makazi maalumu kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea msimbazi na jangwani jijini dar es salaa.

Popular Posts