It's all about maburudani na maisha ya kila siku karibuni napenda kufanya kitu na kifanikiwe kila siku iendayo kwa mungu,mungu bariki kazi ya mikono yangu kwa sababu naipenda kama navyopenda vitu vingine na watu pia.
Friday, July 8, 2011
BREAKING NYUUUUUZI.....MAN UNITED YAWAUZA JOHN OSHEA,DARREN GIBSON NA WES BROWN KWA SUNDERLAND.


Manchester united ya uingereza imubali kuwauza wachezaji wake wa sehemu ya ulinzi John Oshea(pichani kulia),Wes Brown(kushoto) na kiungo anayechipukia Darren Gibson kwenda Sunderland nayo ya Uingereza.
'THERES ONLY ONE KASEJA..........

Na ndivyo ilivyokua jana pale golikipa nambari moja wa wekundu wa msimbazi simba alipoisaidia timu yake kutinga katika hatua ya fainali akiokoa mkwaju wa penati wa el-meirhekh ya sudan na kufanya matokeo kuwa 6-5.huku penati ya simba ikikoswa na salumu machaku.katika dakika 90 el-meirhekh ndio walioanza kupata goli katika dakika ya 26 ya kipindi cha kwanza na simba kurudisha goli hilo katika dakika ya 42 kupitia kwa winga wake machachari Ulimboka mwakingwe.sasa simba anamsubiri kati ya Yanga au St.George siku ya jumapili pale uwanja mpya wa taifa.
Wednesday, July 6, 2011
NANI KASEMA MBAGALA HAKUNA GOROFA?????EBU ONA MWENYEWE...
VLADMIR AMCHAPA HAYES KWA POINT.......

Saturday, July 2, 2011
NANI MKALI HII LEO... DAVID HAYE VS VRADMIR.....


vradmir....... Leo ni mpambano unaosubiliwa kwa hamu kubwa na wanamasumbwi kote duniani kati ya haye na vradmir ni mpambano wa kihistori.
Friday, July 1, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)
Popular Posts
-
Studio ya CASH MONEY RECORD inaweza kuwa ndo nembo halisi katika historia ya muziki huko kwa OBAMA (marekani)kwa kuwa na wasanii wengi peng...
-
Msanii wa kizazi kipya anayekwenda kwa jina la Rich Mavoko ametupia album yake ya kwanza sokoni inayokwenda kwa jina Uzuri wako ,album ili...
-
Toka mkoani MBEYA....Watu wapatao wa5 wanaosadikiwa kuwa ni MAJAMBAZI wameuwawa kwa risasi kufuatia majibizano ya kurushiana risasi na pol...
-
mtu mzima ngwea ameachia track mpya inayokwenda kwa jina la washamba akimshirikisha the chemba squad wa longtime dark master...track iliyoch...
-
Anajulikana kwa jina la BIBI CHEKA toka pande za TMK anawakilisha kampuni maarufu kwa sasa ya muziki wa bongo flava MKUBWA NA WANAE ya kak...
-
Muda wa mchana wa leo saa 8 mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la SHIRIMA ambaye ni mfanyabiashara maeneo ya kariakoo amejitupa toka ghorof...
-
Member wa NYEUSI anaejulikana kwa jina la Nikki wa pili ameachiz singo mpya inayokwenda kwa jina la 'PAIR' akiwa amemshirikisha b...
-
DOGO JANJA: HUU NDIO UKWELI MTUPU KUHUSU KUFUKUZWA... Siku moja baada ya Dogo Janja kudaiwa kufukuzwa Tip Top Connection, ukweli halisi kuhu...