gwaje'THE GREAT KING'
It's all about maburudani na maisha ya kila siku karibuni napenda kufanya kitu na kifanikiwe kila siku iendayo kwa mungu,mungu bariki kazi ya mikono yangu kwa sababu naipenda kama navyopenda vitu vingine na watu pia.
Tuesday, June 30, 2015
Friday, May 3, 2013
MAJAMBAZI YAUWAWA KWA RISASI MKOANI MBEYA....

Toka mkoani MBEYA....Watu wapatao wa5 wanaosadikiwa kuwa ni MAJAMBAZI wameuwawa kwa risasi kufuatia majibizano ya kurushiana risasi na polisi wa mkoani humo.kwa zaidi pita hapa www.jaizmelaleo.blogspot.c
JE UNAKIPAJI CHA UIGIZAJI NA UNAPENDA KUJITANGAZA????BASI CHUKUA HII

rimacy.group@yahoo.com
MFANYA BIASHARA KARIAKOO AJIRUSHA TOKA GHOROFA YA 9......
Muda wa mchana wa leo saa 8 mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la SHIRIMA ambaye ni mfanyabiashara maeneo ya kariakoo amejitupa toka ghorofa ya 9 katika hoteli ya CONCORD iliopo maeneo ya kariakoo jijini Dar es Salaam hadi chini na kuangukia gari aina ya TOYOTA COLLORA ambayo ni TAX,mpaka sasa haijafaamika chanzo cha kujitupa kwake na mpaka naondoka eneo la tukio niliacha amepelekwa hospital
Monday, December 3, 2012
Thursday, November 22, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)
Popular Posts
-
Studio ya CASH MONEY RECORD inaweza kuwa ndo nembo halisi katika historia ya muziki huko kwa OBAMA (marekani)kwa kuwa na wasanii wengi peng...
-
Msanii wa kizazi kipya anayekwenda kwa jina la Rich Mavoko ametupia album yake ya kwanza sokoni inayokwenda kwa jina Uzuri wako ,album ili...
-
Toka mkoani MBEYA....Watu wapatao wa5 wanaosadikiwa kuwa ni MAJAMBAZI wameuwawa kwa risasi kufuatia majibizano ya kurushiana risasi na pol...
-
mtu mzima ngwea ameachia track mpya inayokwenda kwa jina la washamba akimshirikisha the chemba squad wa longtime dark master...track iliyoch...
-
Anajulikana kwa jina la BIBI CHEKA toka pande za TMK anawakilisha kampuni maarufu kwa sasa ya muziki wa bongo flava MKUBWA NA WANAE ya kak...
-
Muda wa mchana wa leo saa 8 mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la SHIRIMA ambaye ni mfanyabiashara maeneo ya kariakoo amejitupa toka ghorof...
-
Member wa NYEUSI anaejulikana kwa jina la Nikki wa pili ameachiz singo mpya inayokwenda kwa jina la 'PAIR' akiwa amemshirikisha b...
-
DOGO JANJA: HUU NDIO UKWELI MTUPU KUHUSU KUFUKUZWA... Siku moja baada ya Dogo Janja kudaiwa kufukuzwa Tip Top Connection, ukweli halisi kuhu...