CHEKA UNENEPE!!! ANT-VIRUS YA STRESS KUJA NA T-SHIRT....
Ikiwa imefanikisha kuwa na memba wapatao 1,394 mpaka sasa kikundi cha wana familia
ya CHEKA UNENEPE kimeamua kuja na t-shirt zake huo hapo juu ukiwa ni mfano wa
moja ya t-shirt hizo..kwa taarifa rasmi kesho mida ya saa 6 mchana zitakuwa tyari na kwa
mawasiliano zaidi bofya 0713 01 62 61.
It's all about maburudani na maisha ya kila siku karibuni napenda kufanya kitu na kifanikiwe kila siku iendayo kwa mungu,mungu bariki kazi ya mikono yangu kwa sababu naipenda kama navyopenda vitu vingine na watu pia.
Monday, August 6, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)
Popular Posts
-
Studio ya CASH MONEY RECORD inaweza kuwa ndo nembo halisi katika historia ya muziki huko kwa OBAMA (marekani)kwa kuwa na wasanii wengi peng...
-
Msanii wa kizazi kipya anayekwenda kwa jina la Rich Mavoko ametupia album yake ya kwanza sokoni inayokwenda kwa jina Uzuri wako ,album ili...
-
Toka mkoani MBEYA....Watu wapatao wa5 wanaosadikiwa kuwa ni MAJAMBAZI wameuwawa kwa risasi kufuatia majibizano ya kurushiana risasi na pol...
-
mtu mzima ngwea ameachia track mpya inayokwenda kwa jina la washamba akimshirikisha the chemba squad wa longtime dark master...track iliyoch...
-
Anajulikana kwa jina la BIBI CHEKA toka pande za TMK anawakilisha kampuni maarufu kwa sasa ya muziki wa bongo flava MKUBWA NA WANAE ya kak...
-
Muda wa mchana wa leo saa 8 mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la SHIRIMA ambaye ni mfanyabiashara maeneo ya kariakoo amejitupa toka ghorof...
-
Member wa NYEUSI anaejulikana kwa jina la Nikki wa pili ameachiz singo mpya inayokwenda kwa jina la 'PAIR' akiwa amemshirikisha b...
-
DOGO JANJA: HUU NDIO UKWELI MTUPU KUHUSU KUFUKUZWA... Siku moja baada ya Dogo Janja kudaiwa kufukuzwa Tip Top Connection, ukweli halisi kuhu...